×

Tag: mgomo

Marubani kufanya Mgomo wa Kazi Baada ya Kushindwa Kupandishwa Mshahara

  MARUBANI katika shirika la ndege la Ujerumani la Lufthansa watafanya mgomo wa siku nzima hapo kesho Ijumaa. Mgomo huo...

READ MORE

Walimu Wagoma Kufundisha Kisa Mishahara

ZIADI ya wanafunzi 130 wa kidato cha kwanza hadi cha nne katika shule ya sekondari Tabasamu, iliyopo Nyasaka, Ilemela mkoani...

READ MORE

Polisi Yawasaka Waliohamasisha Mgomo wa Madereva

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawatafuta kwa mahojiano viongozi wa chama cha madereva wa mabasi...

READ MORE

Wanafunzi UDSM Wafanya Maamuzi Magumu, Watoa Saa 72

KUFUATIA wanafunzi wengi kukosa mikopo ya elimu ya juu na kudaiwa kuwepo figisu kwa wale wanaopaswa kupewa mikopo hiyo, Serikali...

READ MORE

MGOMO WA MADREVA WATIKISA MBEYA

  Madereva wa daladala jijini Mbeya wamegoma kusafirisha abiria kuanzia alfajiri ya leo Jumatatu, Machi 18, 2019 kwa kile walichokilalamikia...

READ MORE

Kimenuka Mbeya: Agizo la Mkuu wa Mkoa, Machinga Wagomea!

Hali si shwari katika Jiji la Mbeya, maeneo ya Mwanjelwa, kufuatia Mkuu wa Mkoa huo, Albert Chalamila kuwataka wamachinga kuyahama...

READ MORE

Kimenuka Bukoba… Madereva Wagoma, Sababu Hizi Hapa!

MADEREVA wa daladala wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamegoma kusafirisha abiria baada ya kupandishiwa gharama za maegesho leo Jumanne,...

READ MORE

Wanafunzi Royal College – Dar Waandamana

  WANAFUNZI wa Chuo cha Uandishi wa Habari cha jijini Dar es Salaam, Royal College of Tanzania leo wameandamana wakipinga...

READ MORE

BREAKING NEWS: Lissu Awaongoza Mawakili Kugoma Kuingia Mahakamani

RAIS wa Chama cha Mawakili Tanzania (TLS), Tundu Lissu amewaongoza mawakili nchini kugoma kuingia mahakamani kwa muda wa siku mbili...

READ MORE

GlobalUpdates: Madereva Daladala Kituo cha Simu 2000 Wagoma

  #GlobalHabariUpdates: Madereva wa daladala kituo cha Simu 2000 (Mawasiliano) kilichopo Sinza jijini Dar es Salaam wamegoma kutoa huduma kuanzia...

READ MORE

Madereva Wakanusha Taarifa za Mgomo

Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (TADWA), Shabani Mdemu (kulia) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Msemaji wa Ofisi ya...

READ MORE

Mgomo wa mabasi Mwanza abiria wateseka saa 10 stendi

Baadhi ya abiria wakisubiri usafiri bila mafanikio. Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela, Mwanza, Juma Kasendako akiongea na madereva wa...

READ MORE