×

Gianni Infantino ndiye rais mpya wa FIFA

12677519_1774660639432596_1728454493_n

Rais mpya wa FIFA, Gianni Infantino ametoa ahadi ya kufanya kazi na wote na kurudisha heshima ya FIFA.

12751216_475386945984604_605353537_n

Matokeo ya raundi ya kwanza.

12716892_183990505308749_54648289_n

Sheikh Salman al-Khalifa (kulia) akiwa na Gianni Infantino (wa katikati) walioingia round ya pili.

Infantino ameibuka na ushindi wa kura 115 dhidi ya Sheikh Salman aliyepata 88.

 

Leave a Comment