
Meya Mteule wa jiji la Dar es salaam Issaya Mwita Chalres kutoka kata ya vijimbwweni (UKAWA)

Fomu ya uthibitisho wa matokeo ya uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es salaam.

Taswira ya ukumbi ilivyokuwa

Aliyekuwa mgombea wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema,Edward Ngoyayi Lowasa (katikati mwenye sharti jeupe) akiwa katika hafla iyo

Baadhi ya viongozi wa chadema wakiwa wanafuatilia uchaguzi uliokua ukiendelea

Kura zikihesabiwa ukumbini hapo

Ilivyooneka nje ya ukumbi wa karimjee

Ulinzi ulivyokuwa umeimalishwa nje ya ukumbi



Picha zikionyesha taswila mbalimbali ya uchaguzi huo wa Meya wa jiji la Dar es salaam.
Isaya Mwita wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo ameibuka mshindi katika uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam kwa kura 84 huku Omari Yenga wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kura 67 na kura 7 zimeharibika.
Wajumbe 158 ndiyo walipiga kura katika uchaguzi uliofanyika katika Ukumbi wa Karimjeee jijini Dar es Salaam.
(Na Denis Mtima na Chande Abdallah/Gpl)