×

Msanii Bongo Muvi Afariki Akijifungua

11142138_835686713181465_748293969_n  

Stori: Imelda Mtema
DAR ES SALAAM: Ni simanzi! Nyota ya msanii Leila Gabriel ‘Lissa’ ambayo ndiyo kwanza ilikuwa imeanza kuchomoza kwenye tasnia ya filamu za Kibongo, ilizimika ghafla mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya msanii huyo kupoteza maisha muda mfupi baada ya kujifungua kwenye Hospitali ya St. Benard, Kariakoo jijini Dar es Salaam.

  • Filamu alizowahi kucheza?
  • Aishiwa nguvu wakati wa kujifungua.
  • Aabainika kutokuwa na damu ya kutosha.
  • Madaktari washindwa kumfanyia upasuaji
  • Bahati nzuri ajifungua salama.
  • Apatwa balaa lingine baada ya kujifungua, afariki dunia.
  • Mama wa Marehemu afunguka mazito kuhusu kifo cha mwanaye.
  • Simulizi ya kifo chake inasikitisha sana!

“Inauma sana, mwanangu amefariki kwa maumivu maana shida ilikuwa ni ambulance, kama ingepatikana kwa wakati naamini angepona lakini ndiyo hivyo tena, kazi ya Mungu haina makosa,” alisema mama huyo kwa uchungu huku akitokwa machozi.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amina!

KUSOMA HABARI HII KWA KINA ZAIDI, JIPATIE NAKALA YAKO YA RISASI MCHANGANYIKO, APRIL 20, 2014

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment