JK katika mazungumzo na viongozi wa CCP (Pichaz) Global Publishers April 21, 2016 0 Comments SHARE THIS: Rais wa awamu ya nne, Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye mazungumzo na viongozi wa Chama Cha Kikomunisti cha China (CCP) katika kuendeleza uhusiano wa kihistoria na Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana. Picha kwa hisani ya: twitter.com/jmkikwete SHARE THIS: