×

Juliet Ibrahim kuolewa tena soon!

Juliet-IbrahimJuliet Ibrahim

BAADA ya kuachana na mumewe, Kwadwo Safo, staa wa filamu Ghollywood, Juliet Ibrahim amefunguka kuwa huenda akaolewa tena mwaka huu.

Akifanyiwa mahojiano na kituo kimoja cha TV nchini Nigeria, Juliet alisema kwa sasa anatarajia kuja na kipindi chake cha maisha halisi kijulikanacho kama The Personal Assistant

(TPA).“Kuhusu kuolewa, bado sijaelewa hatima yangu lakini inawezekana nikaolewa tena mwaka huu,” alisema Juliet

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, DOWNLOAD NA INSTALL APP HII ILIYOPO KWENYE PLAY STORE YAKO==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment