×

Kibao Msambwanda, Singeli kutawala Kesho Dar Live

msagasumuuMsaga Sumu akitawala jukwaa la Dar Live.

ANDREW CARLOS

MASHABIKI wa Kibao Msambwanda, Singeli, Bongo Fleva, Mduara na Mchiriku wanatarajia kukata kiu yao kesho (Aprili 23) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar kwenye shoo ijulikanayo kama

Usiku wa Uswazi. Akizungumza na mwandishi wetu, mratibu wa shoo hiyo, Ester Kiama alisema kuwa usiku huo utapambwa na kali kibao ambao ni Juma Nature, Msagasumu, Snura, MC Soudy, Man Fongo, Sholo Mwamba na wengine kibao.

“Utakuwa ni usiku wa bandika, bandua na niwaambie tu mashabiki wote wataserebuka mpaka kuchwee kwa kiingilio cha shilingi 7,000 tu,” alisema Ester

KUFAHAMU YOTE HAYA NA MENGINE, NUNUA GAZETI LA IJUMAA, LEO April 22, 2016

KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP

*********

JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave a Comment