Majimaji Vs Yanga Nguvu Sawa, Zaenda Sare ya 2-2 Global Publishers May 22, 2016 0 Comments SHARE THIS: Mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu wa 2015/16, Yanga leo wamehitimisha ligi hiyo kwa kutoka sare ya mabao 2-2 dhidi ya Majimaji kwenye mechi iliyopigwa katika Uwanja wa Majimaji, Songea mkoani Ruvuma. Picha na Musa Mateja / GPL SHARE THIS: