Kikosi cha timu ya taifa Taifa Stars jana jioni kimefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar na Timu ya Taifa ya Misri ilifanya mazoezi kwenye uwanja wa Gymkhana jijini Dar wakati timu zote zikijiwinda na mchezo wao utakaopigwa Juni 4 mwaka huu kwenye dimba la Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam









