×

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel akutana na Mshindi wa Airtel Trace Music Stars 2016

Pic 1    Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso (kushoto) akiongea na mshindi wa Airtel Trace Music Stars  2016, Melisa John wakati alipotembelea ofisi za Airtel ili kutoa shukrani na kukutana na wafanyakazi wa Airtel kabla yakuondoka kwenda kwenye Mashindano ya Airtel Trace Music Stars Afrika yatakayofanyika Lagos nchini Nigeria tarehe 11/6/2016.  Akishuhudia ni  Mkurugenzi wa kikundi cha the voice accapella, Obeid John Mark.

PIC 2Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso akimpongeza mshindi wa Airtel Trace Music Stars  2016, Melisa John wakati alipotembelea ofisi za Airtel ili kutoa shukrani na kukutana na wafanyakazi wa Airtel kabla yakuondoka kwenda kwenye Mashindano ya Airtel Trace Music Stars Afrika yatakayofanyika Lagos nchini Nigeria tarehe 11/6/2016.  Akishuhudia ni  Mkurugenzi wa kikundi cha The Voice Acappella, Obeid John Mark.

Pic 3aMkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso akisalimiana na Mkurugenzi wa kikundi cha The Voice Acappella, Obeid John Mark wakati alipomtembelea ofisini kwake . akishuhudia (katikati)  mshindi wa Airtel Trace Music Stars 2016, Melisa John.

PIC 4Mshindi wa Airtel Trace Music Stars  2016, Melisa John (katikati) akiongea na Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Bwana Sunil Colaso (kushoto)  wakati alipotembelea ofisi za Airtel kabla yakuondoka kwenda kwenye Mashindano ya Airtel Trace Music Stars Afrika yatakayofanyika Lagos nchini Nigeria tarehe 11/6/2016.  Akishuhudia ni  Mkurugenzi wa kikundi cha The Voice Acappella, Obeid John Mark.

Leave a Comment