Lil Ommy wa Times FM afunga ndoa na Shamimu Mlacha wa ITV
Global Publishers
July 29, 2016
0 Comments

Mtangazaji wa kituo cha redio cha Times FM, Omary Tambwe ‘Lil Ommy’ akiwa na mke wake Shamimu Mlacha.
Mtangazaji wa kituo cha redio cha Times FM, Omary Tambwe ‘Lil Ommy’ jana amefunga ndoa na mwanahabari mwenzie, Shamimu Mlacha ambaye ni mtangazaji wa kituo cha runinga cha ITV.