Global TV bado ipo karibu na yako wewe mfuatiliaji wetu ili kuweza kukuletea kila kinachoendelea msibani kwa aliyekuwa Mbunge mstaafu wa Jimbo la Moshi Mjini na M/Kiti wa CHADEMA Mkoa wa Kilimanjaro, mzee Philemon Ndesamburo.
HII HAPA NI RATIBA KAMILI YA MAZISHI YA MZEE HUYO