×

Darassa Afanya Makamuzi Ya Kihistoria Dar Live (Pichaz na Video)

Staa wa Hip Hop Bongo, Shariff Thabeet ‘Darassa’ akifanya makamuzi Idd Mosi Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakheem jijini Dar usiku wa kuamkia leo.

Darassa akisalimiana na mashabiki wake kabla ya kuanza shoo.

Darassa akifanya makamuzi.

Mashabiki wakipagawa na ngoma mpya ya muziki

(PICHA: RICHARD BUKOS/GPL)

Leave a Comment