
CHELSEA inajipanga kupeleka mshtuko mkubwa pale Bayern Munich wa kumtaka beki wao Jerome Boateng. Kocha Antonio Conte wa Chelsea anataka kuiboresha safu yake ya ulinzi tayari kwa kazi ya msimu ujao.
CHELSEA inajipanga kupeleka mshtuko mkubwa pale Bayern Munich wa kumtaka beki wao Jerome Boateng. @globalpublishers Instagram pic.twitter.com/IhhR9wYRjb
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 1, 2017
CHANZO: Daily Mirror