Makamu wa Rais Bi. Samia Suluhu Hassan, leo Oktoba 27, amefanya ziara katika Wilaya ya Kisarawe na kukagua ujenzi wa mradi wa tenki la maji katika eneo la Mnarani na kukagua ujenzi wa barabara za lami.
Makamu wa Rais Bi. Samia Suluhu Hassan, leo Oktoba 27, amefanya ziara katika Wilaya ya Kisarawe na kukagua ujenzi wa mradi wa tenki la maji katika eneo la Mnarani na kukagua ujenzi wa barabara za lami.