Mbunge wa Geita, Joseph Msukuma, ameibua hoja nzito katika mkutano wa hadhara aliofanya katika kijiji cha Kasota na kutaka chama cha Mapinduzi kumuhoji ufisadi unaofanyika katika jimbo lake.
Mbunge wa Geita, Joseph Msukuma, ameibua hoja nzito katika mkutano wa hadhara aliofanya katika kijiji cha Kasota na kutaka chama cha Mapinduzi kumuhoji ufisadi unaofanyika katika jimbo lake.