MBUNGE wa Ukonga, Mwita Waitara, amemwambia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, arudi nyumbani ili haki yake iweze kutendeka kwani kuendelea kulichafua Taifa huko Marekani hakuna faida yoyote.
MBUNGE wa Ukonga, Mwita Waitara, amemwambia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, arudi nyumbani ili haki yake iweze kutendeka kwani kuendelea kulichafua Taifa huko Marekani hakuna faida yoyote.