MSANII maarufu wa Bongo Movies, Wanswekula Zacharia Lotti ‘DORAH’ (24), anayetamba katika tamthilia ya KAPUNI inayooneshwa DSTV, amevunja ukimya na kuanika hisia zake kwa mwanamuziki maarufu Bongo Fleva, Harmonize. Unataka kujua alichokisema?
MSANII maarufu wa Bongo Movies, Wanswekula Zacharia Lotti ‘DORAH’ (24), anayetamba katika tamthilia ya KAPUNI inayooneshwa DSTV, amevunja ukimya na kuanika hisia zake kwa mwanamuziki maarufu Bongo Fleva, Harmonize. Unataka kujua alichokisema?