×

Breaking: Matokeo Kidato cha Pili Yatangazwa, Haya Hapa

 

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha pili na kidato cha nne.

 

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa leo Alhamisi Januari 9, 2020 na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dkt. Charles Msonde amesema ufaulu katika mtihani wa upimaji wa darasa la nne umeongezeka kwa asilimia 26.21.

 

Katika mtihani wa upimaji kidato cha pili, wanafunzi 514,251 sawa na asilimia 90.04 kati ya wanafunzi 571,137 wamefanya vizuri katika mtihani huo na kuwawezesha kuingia kidato cha tatu.

 

KUTAZAMA MATOKEO HAYO LINK ZIPO HAPA CHINI

MATOKEO KIDATO CHA NNE

MATOKEO DARASA LA NNE

MATOKEO KIDATO CHA PILI

Leave a Comment