Mtanange wa Watani wa Jadi, Yanga Sc vs Simba Sc umemalizia katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku Yanga wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa kwa mkwaju wa adhabu na Bernard Morrison dakika ya 44.
Mtanange wa Watani wa Jadi, Yanga Sc vs Simba Sc umemalizia katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku Yanga wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa kwa mkwaju wa adhabu na Bernard Morrison dakika ya 44.