Sakata la Morrison Kuhamia Simba, Kindoki Aanika Ukweli – Video
Global Publishers March 27, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
SHABIKI Kindakindaki wa Klabu ya Yanga, Jimmy Kindoki, amezungumzia Sakata la mchezaji wao wa Yanga, Bernard Morrison, tetesi za kuwa alitakiwa na klabu ya Simba huku akisema kuwa asingeamini kama anaweza kusaini Simba.