OCD Maarufu kwa Kusoma Quran Afariki Dunia Global Publishers May 8, 2020 0 Comments SHARE THIS: MKUU wa Polisi Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed amefariki dunia. Afande Masoud hivi karibuni alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wake wa Quran huku akiwa amevaa sare za jeshi hilo. SHARE THIS: