KATIKA kipindi cha 255 Front Page, leo Mei 19, wachambuzi wamezungumza kwa njia ya simu na Mbunge wa Geita, Joseph Kasheku ‘Musukuma’, kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini.
KATIKA kipindi cha 255 Front Page, leo Mei 19, wachambuzi wamezungumza kwa njia ya simu na Mbunge wa Geita, Joseph Kasheku ‘Musukuma’, kuhusiana na masuala mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea hapa nchini.