Spika Ndugai amemtoa nje ya Bunge, Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA), Yosepher Komba
Ni baada ya Mbunge huyo kuwasha kipaza sauti akilalamika kudhalilishwa na Mbunge wa Viti Maalum(CCM), Jackline Msongozi
Spika Ndugai amemtoa nje ya Bunge, Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA), Yosepher Komba
Ni baada ya Mbunge huyo kuwasha kipaza sauti akilalamika kudhalilishwa na Mbunge wa Viti Maalum(CCM), Jackline Msongozi