Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC hao wametua Dar leo saa 2 asubuhi, na muda huu wanalitembeza kombe lao kutoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kwenda kumalizika makao makuu ya Simba Msimbazi.
Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba SC hao wametua Dar leo saa 2 asubuhi, na muda huu wanalitembeza kombe lao kutoka Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kwenda kumalizika makao makuu ya Simba Msimbazi.