DKT ABBAS ANAZUNGUMZA, MAKABIDHIANO YA HATI YA KUHAMISHA COSOTA KUTOKA WIZARA YA VIWANDA
Ni matangazo ya moja kwa moja ya makabidhiano ya hati ya kuhamisha COSOTA kutoka wizara ya viwanda na biashara kwenda katika wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo ni baada ya Rais Magufuli kuwaahidi wasanii kuihamishia taasisi hiyo katika wizara ya habari…
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx