×

Matukio Kura za Maoni CCM Ubunge Buchosa, Sengerema

Baadhi ya wajumbe wa Katwe wakisuburi kupiga kura  Jimbo la Buchosa Sengerema, Mwanza.
Baadhi ya wajumbe wa  Nyakaliro.
Baadhi ya wajumbe kutoka  kisiwa cha  Maisome.
Sura za wajumbe wakifuatilia matukio.
Sehemu ya taswira ukumbini ilivyovutia.
Sehemu ya wajumbe wa kata ya Bangwe.
Sehemu ya  wajumbe wa kata ya Luharanyonga wakiwa tayari kwa majukumu yao.
Mkutano ukiendelea kwa shauku. 
Kamera iliponasa sura za baadhi ya wajumbe wa Bupandwa.
Sura za shauku na subira za baadhi ya wajumbe.
Ni sura na mandhari za kuvutia kila kona ya ukumbi.
Sehemu ya wagombea Ubunge Jimbo la Buchosa, Wilayani Sengerema, walipoketi.
Mkurugenzi wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo (kushoto nyuma) ambaye ni miongoni mwa wagombea, akiwa na wenzake sehemu waliyoandaliwa.
 Shigongo (kushoto) akiteta jambo na mmoja wa wagombea wenzake.
Sehemu ya meza kuu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema.

 

JIMBO la Buchosa ni moja ya majimbo nchini yanayopiga kura za maoni za kuwapata wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Wakati tunakwenda mitamboni majira ya saa sita mchana mchakato huo ulikuwa haujaanza.  Hata hivyo, tutaendelea kuwajuza kila kinachotokea sehemu hiyo kikamilifu.

 

 

Leave a Comment