×

Diamond Akabidhi Misaada Kwa Watoto Yatima -Video


MKURUGENZI wa Wasafi Media na Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, akishirikiana na Pari Match leo Julai  21, 2020, wamekabidhi misaada ya chakula,  kompyuta na runinga mbili kwa ajili ya kurahisisha masomo ya watoto yatima hao kutoka vituo viwili tofauti.

⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:

⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8

⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx

Leave a Comment