×

Hamis Taletale Ameongoza Morogoro Kusini-Mashariki

Hamis Taletale maarufu kama Babu Tale ameongoza katika kura za maoni kwa kupata kura 318

Nafasi ya pili katika kura hizo imechukuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Omary Mghumba aliyepata kura 242

Babu Tale anaweza kupata nafasi ya kuwakilisha CCM katika Jimbo hilo kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020

Leave a Comment