LEO Jumapili, Agosti 9, 2020, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya awamu ya kwanza wagombea walioteuliwa kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar.
LEO Jumapili, Agosti 9, 2020, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza majina ya awamu ya kwanza wagombea walioteuliwa kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali Tanzania Bara na Zanzibar.