Dodoma: Takukuru Yawafikisha Kizimbani Watatu Akiwemo Diwani Global Publishers August 14, 2020 0 Comments SHARE THIS: TAKUKURU inawatuhumu aliyekuwa Diwani wa Ntyuka, Theobald Maina; aliyekuwa Mtendaji wa Ntyuka, Benedict Mazengo na aliyekuwa Mwenyekiti Mtaa wa Chimala, Anderson Jonathan kufuja Tsh. Milioni 2. SHARE THIS: