×

Dodoma: Takukuru Yawafikisha Kizimbani Watatu Akiwemo Diwani

TAKUKURU inawatuhumu aliyekuwa Diwani wa Ntyuka, Theobald Maina; aliyekuwa Mtendaji wa Ntyuka, Benedict Mazengo na aliyekuwa Mwenyekiti Mtaa wa Chimala, Anderson Jonathan kufuja Tsh. Milioni 2.

Leave a Comment