Tanzania Yaruhusu Ndege za Kenya Kutua Nchini Global Publishers September 16, 2020 0 Comments SHARE THIS: Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA), imeruhusu ndege kutoka Kenya kuanza kutua nchini ikiwa ni baada ya kuondolewa vikwazo vilivyokuwa vimewekwa awali. SHARE THIS: