TFF Yakemea Mashabiki Yanga Kuwashambulia Simba Global Publishers September 28, 2020 0 Comments SHARE THIS: SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa tamko likikemea kitgendo cha mashabiki wa Yanga SC kuwafanyia fujo mashabiki wa Simba SC katika Uwanja wa Jamhuri Morogoro kwenye mchezo wa Yanga vs Mtibwa Sugar uliofanyika jana Jumapili, Septemba 27, 2020. SHARE THIS: