
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Magufuli leo Oktoba 2, 2020 amefika kutoa pole kwa familia ya marehemu Briton Wilfred Mollel (26) mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM aliyeuawa Agosti 25, 2020 Tunduma mkoani Songwe.





Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Magufuli leo Oktoba 2, 2020 amefika kutoa pole kwa familia ya marehemu Briton Wilfred Mollel (26) mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM aliyeuawa Agosti 25, 2020 Tunduma mkoani Songwe.



