×

Shigongo: Kwa Mara ya Kwanza Tunapata Lami – Video

MGOMBEA ubunge Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo James, amewasisitiza kwamba wamwamini na kumpa kura za kuwa mbunge wakijua kabisa ataleta mabadiliko makubwa katika maisha ya wananchi wa jimbo hilo.

Leave a Comment