×

Anna Lupembe Wa CCM Ashinda Ubunge Jimbo la Nsimbo, Katavi

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nsimbo, Mohamed Ramadhani, amemtangaza Ana Lupembe wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge jimbo hilo kwa kupata kura 38,346, akifuatiwa na Philipo Malaki wa ACT Wazalendo ambaye amepata kura 1292.

 

Nunua magazeti kupitia globalapp.co.tz au Application ya GlobalApp Ujishindie Mkwanja hadi Tsh. 100,000/=

iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx
Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8
Web: www.globalapp.co.tz

Baada ya kununua jaza fomu hii bila kusahau jina lako kamili, kumbukumbuku namba ya manunuzi na namba ya simu uliyotumia kununua. Kwa Tsh 300 tu, utakuwa umejiweka kwenye nafasi ya kujipatia zawadi ya simu mpya na mkwanja mpaka 100,000 kila wiki. Nunua sasa uzawadiwe!

Kujaza fomu bofya hapa ===> https://bit.ly/3oB6AO7

 

Leave a Comment