×

Klabu Bingwa: Simba Yapangwa Kundi la Kifo

 

KLABU Simba ya Tanzania, leo Januari 8, 2021, katika droo ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika imepeagwa ikipangwa kundi A na vigogo Al Ahly ya Misri kwenye kusaka ushindi wa kutinga hatua ya robo fainali.

 

Makundi yamepangwa ifuatavyo:

Kundi A

Al Ahly ya Misri

AS Vita ya Congo

Simba ya Tanzania

El Merreikh ya Sudan

Kund B

TP Mazembe ya Congo

Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini

Al Hilal ya Sudan

CR Beloulzadad ya Algeria

Kundi C

Wydad Athletic  ya  Morocco

Horoya ya Guinea

Atletico Petroleos ya Angola

Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini

Kundi D

E.S.T ya Tunisia

Zamalek ya Misri

MC Alger ya Algeria

Teungueth FC ya Senegal.

 

Leave a Comment