
RAIS John Magufuli, leo Januari 25, 2021, amempokea Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyekuja nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja, Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita.




RAIS John Magufuli, leo Januari 25, 2021, amempokea Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde, aliyekuja nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja, Ikulu ndogo ya Chato mkoani Geita.


