×

Rais Samia Anatunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 17, 2021 atawatunuku Kamisheni Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi Tanzania katika Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma .

Rais Samia anatunuku Kamisheni Maafisa Wananfunzi 393 Kundi la 01/2017 Shahada ya Sayansi ya Kijeshi na Kundi la 68/2020 pamoja na Mahafali ya kwanza ya Shahada ya Sayansi ya Jeshi kwa Wanafunzi kundi 01/2017.
Maafisa Wanafunzi 143 kundi la 01/17 wakila kiapo cha utii kwa Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan kisha wakavalisha vyeo vya kamisheni walivyonukiwa na Rais Samia, leo Jumamosi, viwanja vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.

Leave a Comment