









Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anawaapisha wakuu wa mikoa na wakuu wa taasisi leo Mei 19, 2021 kuanzia saa 4:00 asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tembelea mitandao yetu ya kijamii kuwenza kufahamu yote yatakayojiri.










Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anawaapisha wakuu wa mikoa na wakuu wa taasisi leo Mei 19, 2021 kuanzia saa 4:00 asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam.
Tembelea mitandao yetu ya kijamii kuwenza kufahamu yote yatakayojiri.