×

Nafasi za kazi 22 TEMESA, Mitambo – Automobile

POST FUNDI SANIFU DARAJA LA II (MITAMBO – AUTOMOBILE) – 22 POST
POST CATEGORY(S) ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYER Tanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA)
APPLICATION TIMELINE: 2021-06-17 2021-07-01
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.    Kufanya matengenezo madogo na makubwa ya magari na mitambo;
ii.    Kuhakikisha usalama kwa watumishi na mali wakati wote wa utendaji kazi;
iii.    Kuhifadhi na Kutunza vifaa anavyofanyia kazi;
iv.    Kuhakikisha vifaa vya karakana na mazingira yake ni safi wakati wote;
v.    Kufanya uchunguzi, kubaini, kuandaa gharama na kurekebisha matatizo ya magari na
vi.    Kufanya kazi atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE •    Awe na elimu ya kidato cha sita na kuhitimu kozi ya ufundi ya miaka miwili katika fani ya Ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au
•    Awe na elimu ya kidato cha nne na kufuzu kozi ya miaka mitatu katika fani ya Ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali, au
•    Awe na elimu ya kidato cha nne na Cheti cha Majaribio ya Ufundi Stadi Hatua ya I (Trade Test I) fani ya ufundi Magari/Mitambo kutoka chuo kinachotambuliwa na Serikali;
•    Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu (3) wa kufanya matengenezo ya magari madogo na makubwa /mitambo kwenye karakana /gereji iliyosajiliwa;
•    Awe mchapakazi, anayejiamini na mwenye uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa;
•    Mwenye uzoefu kwenye matengenezo ya magari /mitambo ya kisasa atapewa kipaumbele; na
•    Uwezo wa kutumia “Auto Diagnostic Machine”.
REMUNERATION TGS C

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

Leave a Comment