Hukumu Kesi ya Sabaya Kutolewa Oktoba 1 – Video Global Publishers August 24, 2021 0 Comments SHARE THIS: Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imehitimisha kusikiliza kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili na kupanga kutoa hukumu Oktoba 01, 2021. SHARE THIS: