×

EWURA Yatangaza Bei Mpya ya Mafuta

EWURA imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli yaliyopita Bandari Dar ambapo yamepanda kwa TZS 12/lita,badala ya TZS 145/lita ambayo ilitakiwa kutozwa Oktoba 6,2021.Punguzo la TZS 133 limetokana na serikali kupunguza tozo 8 kwenye mafuta.

BEI ZA REJA REJA ZA MAFUTA KUANZIA TAREHE 6 OKTOBA 2021

Leave a Comment