×

Vera Sidika Ajifungua Mtoto wa Kike

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Vera Sidika ‘Vee Beiby’ Oktoba 20,2021 amejifungua mtoto wa kike.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Vera Sidika amepost picha akiwa hospitali na mpenzi wake Brown Mauzo @brownmauzo254 na kuandika kuwa “20.10.2021 at 10:21am.🎊A princess was born🎊.Asia Brown @princess_asiabrown. You will always be the miracle that makes our life complete”.

Leave a Comment