
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika kuendelea kufanya mageuzi ya kiuongozi na kiutendaji ili kukidhi mahitaji ya wakati, mwenendo wa mabadiliko ya siasa za dunia na madhumuni ya Chama chetu katika kuwatumikia wananchi kikamilifu.
Hivyo Chama kimefanya uteuzi wa makatibu wa mikoa 32, waliobaki vituo vyao vya kazi ni 10, waliopangiwa vituo vipya ni 12 na wapya ni 9; aidha makatibu wa wilaya ni 168 ambapo waliopangiwa vituo vipya ni 67, waliobaki kwenye vituo vyao vya kazi ni 45 na wapya ni 56. Katika uteuzi huu kwa kuzingatia suala la jinsia wanawake ni 67 sawa na asilimia 33.5 na wanaume ni 133 sawa na asilimia 66.5.
Katika uteuzi huu hakuna hata mmoja aliyetoka nje ya mfumo wa Chama Cha Mapinduzi. Makatibu wapya wa Mikoa na Wilaya wametokana na kupandishwa hadhi kwa makatibu wa CCM wa Wilaya, makatibu wa jumuiya za CCM Wilaya na Mikoa, Maafisa wa Chama na jumuiya Makao Makuu kwa utendaji kazi wao mzuri pamoja na makatibu waliorejeshwa kwenye utumishi kutokana na utiifu wao kwa Chama.
Katika uteuzi huu Kamati kuu ya Halmashauri kuu ilizingatia sifa za ziada ikiwemo uadilifu, uaminifu, weledi, uwezo, bidii, ubunifu, jinsia na rika. Makatibu wapya na waliohamishwa vituo vya kazi kwa Mikoa na Wilaya wanatakiwa kuripoti vituo vyao vya kazi mara baada ya kupokea barua zao. Uteuzi wa Makatibu wa CCM Mikoa na Wilaya uliofanyika ni kama ifuatavyo:-
Uteuzi huu umeanza mara moja kuanzia tarehe 6 Novemba, 2021.
Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,
Itikadi na Uenezi.
8 Novemba, 2021
- MAKATIBU WA CCM WA MKOA
| Na | Jina Kamili | KITUO |
| 1 | Ndg. Mussa Dadi Matoroka | Arusha |
| 2 | Ndg. Adam Ngalawa | Dar Es Salaam |
| 3 | Ndg. Pili Mbanga | Dodoma |
| 4 | Ndg. Mwanamasudi Pazi | Rukwa |
| 5 | Ndg. Naomi Kapambala | Manyara |
| 6 | Ndg.Omar Mtuwa | Katavi |
| 7 | Ndg. Rukia Mkindu | Iringa |
| 8 | Ndg. Innocent Nanzabar | Simiyu |
| 9 | Ndg. Elias Mpanda | Morogoro |
| 10 | Ndg. Marco Mbanga | Kaskazini Pemba |
| 11 | Alhaji Saad Kusilawe | Mbeya |
| 12 | Ndg. Donald Etamya Magesa | Shinyanga |
| 13 | Ndg. Yusuf Said Goha | Pwani |
| 14 | Ndg. Barnabas Essau | Lindi |
| 15 | Ndg. Langael Akyoo | Mara |
| 16 | Ndg. Alexandrina Katabi | Geita |
| 17 | Ndg. Suleiman Mzee | Tanga |
| 18 | Ndg. Mobutu Malima | Kigoma |
| 19 | Ndg. Julius Peter | Mwanza |
| 20 | Ndg. Christopher Palangyo | Kagera |
| 21 | Ndg. Mgeni Musa Haji | Mtwara |
| 22 | Ndg. Lucy B. Shee | Singida |
| 23 | Ndg. Solomon Kasaba | Tabora |
| 24 | Ndg. Jonathan Mabihya | Kilimanjaro |
| 25 | Ndg. Mullar Othuman Zuber | Magharibi |
| 26 | Ndg. Mohamed Ally Khalfan | Kusini Pemba |
| 27 | Ndg. Shaibu Akwilombe | Ruvuma |
| 28 | Ndg. Amina Imbo | Kusini Unguja |
| 29 | Ndg. Abdullar Mwinyi Hassan | Njombe |
| 30 | Ndg. Salum Suleiman Tate | Mjini |
| 31 | Ndg. Juma Mpeli | Songwe |
| 32 | Ndg. Ramadhan Rajab (Kapeto) | Kaskazini Unguja |
MAKATIBU WA CCM WA WILAYA
- ARUSHA
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Kataba Sukuru | Arusha Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Shaban Mrisho | Karatu | ||||
| 3. | Ndg. Safina Alfred | Monduli | ||||
| 4. | Ndg. Aboubakar Ghaty | Ngorongoro | ||||
| 5. | Ndg. Mwadawa Maulid | Arumeru | ||||
| 6. | Ndg. Gulisha Mfanga | Meru | ||||
| 7. | Ndg. Alaw Haidary | Longido | ||||
| 2 | DAR ES SALAAM | |||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Idd Mkowa | Ilala | ||||
| 2. | Ndg. Kitte Mfilinge | Temeke | ||||
| 3. | Ndg. James Mgego | Kinondoni | ||||
| 4. | Ndg. David Mollel | Kigamboni | ||||
| 5. | Ndg. Henry Msunga | Ubungo | ||||
| 3 | MKOA WA DODOMA | |||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Sophia Kibaba | Dodoma Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Omary Ng’wanang’walu | Chamwino | ||||
| 3. | Ndg. Jamila Mujungu | Bahi | ||||
| 4. | Ndg. Sophia Kiwanga | Mpwapwa | ||||
| 5. | Ndg. Himid Tweve | Chemba | ||||
| 6. | Ndg. Joyce Mkaugala | Kongwa | ||||
| 7. | Ndg. Maimuma Likunguni | Kondoa | ||||
| 4 | MKOA WA GEITA | |||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Odilia Batimayo | Bukombe | ||||
| 2. | Ndg. Tija Magoma | Geita | ||||
| 3. | Ndg. Josephat Chacha | Mbogwe | ||||
| 4. | Ndg. Chiku Masanja | Nyang’wale | ||||
| 5. | Ndg. Charles Mazuri | Chato | ||||
| 5 | MKOA WA IRINGA | |||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Frida Kaaya | Mufindi | ||||
| 2. | Ndg. Christina Kibiki | Kilolo | ||||
| 3. | Ndg. Gama J. Gama | Iringa Vijijini | ||||
| 4. | Ndg. Bora Ngaraba | Iringa Mjini | ||||
| 6. MKOA WA KAGERA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Frata Katumwa | Bukoba Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Adam Sudi | Biharamulo | ||||
| 3. | Ndg. Jesca Ndyamkama | Bukoba Vijijini | ||||
| 4. | Ndg. John Melele | Ngara | ||||
| 5. | Ndg. Agness Kasela | Muleba | ||||
| 6. | Ndg. Francis Kambona | Kyerwa | ||||
| 7. | Ndg. Anatory Nshange | Karagwe | ||||
| 8. | Ndg. Bakari Mwacha | Misenyi | ||||
| 7. MKOA WA KATAVI | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO A | ||||
| 1. | Ndg. Evarist Mkingwa | Mpanda | ||||
| 2. | Ndg. Sadick Kadulo | Mulele | ||||
| 3. | Ndg. Adelaida Machenchewa | Tanganyika | ||||
| 8. MKOA WA KIGOMA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Semindu Pawa | Kigoma Vijijini | ||||
| 2. | Ndg. Jumanne Kitundu | Kigoma Mjini | ||||
| 3 | Ndg. Salum Khamis Haji | Buhingwe | ||||
| 4 | Ndg. Zainab Kasimba | Uvinza | ||||
| 5 | Ndg. Emmanuel Mhene | Kakonko | ||||
| 6 | Ndg. Raphael J. Sumaye | Kibondo | ||||
| 7 | Ndg. Abdallah Kazwika | Kasulu | ||||
| 9. MKOA WA KILIMANJARO | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Ibrahim M. Ibrahim | Moshi Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Ramadhani Mahanyu | Moshi Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Ally Musa Balo | Hai | ||||
| 4. | Ndg. Mary sulley | Rombo | ||||
| 5. | Ndg. Victoria Mahembe | Mwanga | ||||
| 6. | Ndg. Hamisa Chacha | Same | ||||
| 7. | Ndg. Ally Kidunda | Siha | ||||
| 10. MKOA WA LINDI | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Asha Mwendwa | Lindi Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Jamal Khimji | Lindi Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Mwanaisha Ame Ahmed | Nachingwea | ||||
| 4. | Ndg. Abas Mkweta | Ruangwa | ||||
| 5. | Ndg. Mayasa Kimbau | Kilwa | ||||
| 6. | Ndg. Sophia Nkupe | Liwale | ||||
| 11. MKOA WA MANYARA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Filbert Mdaki | Babati Vijijini | ||||
| 2. | Ndg. Agness Chuwa | Hanang’ | ||||
| 3. | Ndg. Daniel Mhina | Babati Mjini | ||||
| 4. | Ndg. Amos Shimba | Simanjiro | ||||
| 5. | Ndg. Salum Mgaya | Mbulu | ||||
| 6. | Ndg. Denis Zacharia | Kiteto | ||||
| 12. MKOA WA MARA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Burhan Ruta | Musoma Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Norbaty Kibaji | Musoma vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Hamis Kura | Butiama | ||||
| 4. | Ndg. Loth Olemeirut | Bunda | ||||
| 5. | Ndg. Naboth Manyonyi | Rorya | ||||
| 6. | Ndg. Mary Kananda | Serengeti | ||||
| 7. | Ndg. Valentine D. Maganga | Tarime | ||||
| 13. MKOA WA MBEYA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Denis Luhende | Mbeya Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Rehema Nzunye | Mbeya Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Abdalla H. Mpokwa | Rungwe | ||||
| 4. | Ndg. Gervas Ndaki | Kyela | ||||
| 5. | Ndg. Charles J. Seleman | Chunya | ||||
| 6. | Ndg. Clemence Mponzi | Mbarali | ||||
| 14. MKOA WA MOROGORO | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Silvester Yaredi | Morogoro Mjini | ||||
| 2. | Ndg.Emanuel Mbamange | Morogoro Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Highness Munisi | Gairo | ||||
| 4. | Ndg. Salum Omar Mkadamu | Ulanga | ||||
| 5. | Ndg. Shaban Mdoe | Kilosa | ||||
| 6. | Ndg. Ebenezer Mainoya | Kilombero | ||||
| 7. | Ndg. Florence Machicho | Mvomero | ||||
| 8. | Ndg. Abdulrahman Hamid Hamad | Malinyi | ||||
| 15. MKOA WA MTWARA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Didas Zimbihile | Masasi | ||||
| 2. | Ndg. Clemence Emanuel Bakuli | Mtwara Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Eliud Shemauya | Nanyumbu | ||||
| 4. | Ndg. Sophia Lipenye | Newala | ||||
| 5. | Ndg. Haji Machano Juma | Mtwara Mjini | ||||
| 6. | Ndg. Mohamed Ali Abdalla | Tandahimba | ||||
| 16. MKOA WA MWANZA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Geofrey Kavenga | Nyamagana | ||||
| 2. | Ndg. George Silindu | Ukerewe | ||||
| 3. | Ndg. Aziza Isimbula | Ilemela | ||||
| 4. | Ndg. Muhsin Zikatimu | Sengerema | ||||
| 5. | Ndg. Moza Ally | Magu | ||||
| 6. | Ndg. Chollage Ally Chollage | Misungwi | ||||
| 7. | Ndg. Latifa Malimi | Kwimba | ||||
| 17. MKOA WA NJOMBE | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Sure Mwasanguti | Njombe | ||||
| 2. | Ndg. Amos Kusakula | Ludewa | ||||
| 3. | Ndg. Tukai Naitapwaki | Wanging’ombe | ||||
| 4. | Ndg. Daniel Muhanza | Makete | ||||
| 18. MKOA WA PWANI | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Rukia Mbasha | Kibaha Vijijini | ||||
| 2. | Ndg. Ali Salum Suleiman | Kibaha Mjini | ||||
| 3. | Ndg. Josephine Mwanga | Kisarawe | ||||
| 4. | Ndg. Yusuph Ramadhan Abdallah | Bagamoyo | ||||
| 5. | Ndg. Salehe Kikweo | Mkuranga | ||||
| 6. | Ndg. Acheni Maulid | Rufiji | ||||
| 7. | Ndg. Kulwa Milonge | Mafia | ||||
| 8. | Ndg. Muhidin Zacharia | Kibiti | ||||
| 19. MKOA WA RUKWA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Lucia Chamu | S’wanga Vijijini | ||||
| 2. | Ndg. Tabu Hussein | Sumbawanga Mjini | ||||
| 3. | Ndg. Robert Mwega | Nkasi | ||||
| 4. | Ndg. Hassan Ntalika | Kalambo | ||||
| 20. MKOA WA RUVUMA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Ramadhan Abbas Suleiman (Mcheju) | Namtumbo | ||||
| 2 | Ndg. Juma Nambaila | Songea Vijijini | ||||
| 3 | Ndg. Jacob Siay Aloyce | Mbinga | ||||
| 4 | Ndg. Paulo Aladin Mwalubuga | Nyasa | ||||
| 5 | Ndg. Mohamed Mavala | Tunduru | ||||
| 6 | Ndg. Amir Mkalipa | Songea Mjini | ||||
| 21. MKOA WA SHINYANGA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Agness Bashem | Shinyanga Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Ernestina Richard | Shinyanga Vijijini | ||||
| 3. | Ndg. Mary G. Mhoha | Kahama | ||||
| 4. | Ndg. Peter Mashenji | Kishapu | ||||
| 22. MKOA WA SIMIYU | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO ANACHOHAMIA | ||||
| 1. | Ndg. Joel Makwaiya | Meatu | ||||
| 2. | Ndg. Mathias Shidagisha | Maswa | ||||
| 3. | Ndg. Steven Koyo | Busega | ||||
| 4. | Ndg. Hassan Milanga | Itilima | ||||
| 5. | Ndg. Renatus Masanja Sallu | Bariadi | ||||
| 23. MKOA WA SINGIDA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Shaban K. Hamis | Singida Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Matha Zingula | Mkalama | ||||
| 3. | Ndg. Salum Issa Haji | Manyoni | ||||
| 4. | Ndg. Ephrahim Kolimba | Iramba | ||||
| 5. | Ndg.Anthony Katani | singida Vijijini | ||||
| 6. | Ndg. Stamil Dendego | Ikungi | ||||
| 24. SONGWE | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Hamis Mbogela | Songwe | ||||
| 2 | Ndg. Julius Mbwiga | Mbozi | ||||
| 3 | Ndg. Hassan Lyamba | Ileje | ||||
| 4 | Ndg. Steven Elisha Shija | Momba | ||||
| 25. MKOA WA TABORA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Neema Lunga | Tabora Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Mwanamvua Killo | Igunga | ||||
| 3. | Ndg. Bakari Mfaume | Uyui | ||||
| 4. | Ndg. Adia Mamu | Nzega | ||||
| 5. | Ndg. Magdalena Ndwete | Sikonge | ||||
| 6. | Ndg. Salome Luhingulanya | Kaliua | ||||
| 7. | Ndg. Petronila F. Kichele | Urambo | ||||
| 26. MKOA WA TANGA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Miriam Kaaya | Lushoto | ||||
| 2 | Ndg. Suraiya Kangusu | Kilindi | ||||
| 3 | Ndg. Evarist Mluge | Korogwe Mjini | ||||
| 4 | Ndg. Fatuma J. Shomari | Korogwe Vijijini | ||||
| 5 | Ndg. Zawadi Nyombi | Pangani | ||||
| 6 | Ndg. Lucy Beda Wilson | Mkinga | ||||
| 7 | Ndg. Twalib Berege | Tanga | ||||
| 8 | Ndg. Anastazia Amas | Handeni | ||||
| 9 | Ndg. Simon M. Leng’ese | Muheza | ||||
| 27. MKOA WA MJINI | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1. | Ndg. Ibrahim Mpwapwa | Mjini | ||||
| 2. | Ndg. Veronica Ndaro | Amani | ||||
| 28. MKOA WA MAGHARIBI | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Mwasiti Hassan Mohamed | Mfenesini | ||||
| 2 | Ndg. Getrude Sinyinza | Dimani | ||||
| 29. MKOA WA KASKAZINI UNGUJA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Inne Ame Machano | Kaskazini ‘A’ | ||||
| 2 | Ndg. Shemsa Simon Himbula | Kaskazini ‘B’ | ||||
| 30. MKOA WA KUSINI PEMBA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Hassan Khatibu Hassan | Chakechake | ||||
| 2 | Ndg. Nicolaus Chibwana | Mkoani | ||||
| 31. MKOA WA KUSINI UNGUJA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Asha Mzee Omar | Kusini | ||||
| 2 | Ndg. Omar Justas Morris | Kati | ||||
| 32. MKOA WA KASKAZINI PEMBA | ||||||
| NA | JINA KAMILI | KITUO | ||||
| 1 | Ndg. Ally Khamis Juma | Micheweni | ||||
| 2 | Ndg. Bilali Hussein Maulid | Wete | ||||