
UNAWEZA ukakaa na kufikiri kuwa wewe una shida nyingi na kwamba Mungu amekusahau mpaka siku utakapo kutana na mtu aliyepitia shida nzito KULIKO wewe! Kutana na MCHUNGAJI DEOGRATIUS MASAWE akipiga stori na @lillianmwasha kuhusu kifungo chake cha miaka 30 jela kwa kosa la UJAMBAZI!….TAZAMA HAPA