
Rais Uhuru Kenyatta ameongoza maelfu ya Wakenya katika maombolezo ya kitaifa ya aliyekuwa Rais wa Nchi hiyo, Mwai Kibaki leo Aprili 29, 2022 katika Uwanja wa Nyayo
Miongoni mwa Viongozi waliohudhuria ni Makamu wa Rais wa Tanzania; Dkt. Philip Mpango, Rais Salva Kiir (Sudan Kusini), Rais Cyril Ramaphosa (Afrika Kusini) na Sahle Work-Zewde (Ethiopia)
Kibaki alikuwa Rais wa Kenya kuanzia 2002 – 2013, na alifariki dunia akiwa na miaka 90.





