×

Simba, Yanga Wanajambo Lao, Barbara na Manara Uso kwa Uso – Video

LEO Juni 02, 2022  viongozi wa Vilabu vya  Simba na Yanga, wanazungumza na wanahabari kuhusiana na shindano la ‘NANI ZAIDI’ linalowashindanisha wakongwe hao wa mpira Tanzania, kwenye suala la wachezaji bora, klabu bora na mengine mengi.

 

Leave a Comment