WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo julai 29, 2022, amezungumza na waandisi wanawake katika kongamano lao, na kusisitiza kuendelea na utaratibu wa kufanya makongamano hayo, kwani fursa kwa wanawake inazidi kupanuliwa.
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo julai 29, 2022, amezungumza na waandisi wanawake katika kongamano lao, na kusisitiza kuendelea na utaratibu wa kufanya makongamano hayo, kwani fursa kwa wanawake inazidi kupanuliwa.