
| POST | DEREVA VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST |
| EMPLOYER | Tanzania Electrical,Mechanical and Electronics Services Agency (TEMESA) |
| APPLICATION TIMELINE: | 2022-08-24 2022-09-06 |
| JOB SUMMARY | NIL |
| DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i. Kuendesha na kuongoza Kivuko;
ii.Kutoa maelekezo ya kufunga na kufungua kamba za Kivuko; iii.Kusimamia usalama wa abiria na mizigo ndani ya Kivuko; iv.Kusimamia upangaji wa abiria na mizigo kwenye Kivuko; v.Kuhakikisha kwamba injini ya Kivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi; vi.Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi; vii.Kutunza daftari la safari za Kivuko; viii.Kutunza nyaraka muhimu za Kivuko; ix.Kusimamia nidhamu na utendaji wa watumishi walio chini yake; x.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi. |
| QUALIFICATION AND EXPERIENCE |
•Awe na ujuzi wa kuendesha na kutunza Kivuko uliothibitishwa na chuo cha Dar es Salaam Marine Institute au chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili. (Rating of Navigation Watch/Refresher Rating) ; •Awe amefuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye Vivuko (Mandatory courses /Refresher in mandatory courses).
|
| REMUNERATION | TGOS A |